Makamu wa Rais wa The Runners Club, Bw. Godfrey Mwangungulu, akitoa hotuba yake wakati wa hafla ya makabidhiano ya vifaa vya hospitali vilivyotolewa na Benki ya Absa Tanzania jijini Dar es Salaam jana. Mchango huu Kutoka Benki ya Absa, wenye lengo la kuunga mkono huduma za afya ya mama na mtoto, umewezekana kufuatia mafanikio ya mbio za Absa Dar City Marathon zilizofanyika tarehe 3 Mei 2026 jijini Dar es Salaam.
Makamu wa Rais wa The Runners Club, Bw. Godfrey Mwangungulu, akitoa hotuba yake wakati wa hafla ya makabidhiano ya vifaa vya hospitali vilivyotolewa na Benki ya Absa Tanzania jijini Dar es Salaam jana. Mchango huu Kutoka Benki ya Absa, wenye lengo la kuunga mkono huduma za afya ya mama na mtoto, umewezekana kufuatia mafanikio ya mbio za Absa Dar City Marathon zilizofanyika tarehe 3 Mei 2026 jijini Dar es Salaam.


No comments:
Post a Comment