
KATIKA hatua ya kimkakati ya kuimarisha utambulisho wake wa kimataifa, kampuni iliyokuwa ikijulikana kama Golden Matrix Group sasa imebadilisha rasmi jina na kuwa Meridian Holdings Inc. Kuanzia sasa, kampuni hiyo itafanya biashara katika soko la Nasdaq Capital Market chini ya alama mpya ya hisa MRDN. Mabadiliko haya yanaashiria hatua ya mageuzi inayolenga kuimarisha taswira na ushindani wake katika masoko ya mitaji duniani.
Uamuzi wa kubadili jina unalenga kuziweka sambamba kampuni na chapa yake kuu ya Meridianbet, ambayo imekuwa nguzo ya mafanikio katika masoko mbalimbali. Meridian Holdings Inc. kwa sasa inaundwa na taasisi sita, yaani Meridianbet, Expanse Studios, RKings, Classics for a Cause, GMAG na Mexplay. Muunganiko huu unaonyesha nguvu ya pamoja katika ubunifu wa kidijitali, maendeleo ya michezo na utoaji wa huduma za kisasa za burudani.
Meridianbet haikuachi nyuma, kuna michezo mbalimbali ya kasino mtandaoni pamoja na mechi za kimataifa za kubashiri zenye odds bomba zinazokuongezea nafasi ya kuongeza kipato chako kila siku. Kujiunga ni rahisi! Tembelea meridianbet.co.tz au piga *149*10#.
Hatua hii imekuja kufuatia kukamilika kwa ununuzi wa asilimia 100 wa Fairbet Ltd. nchini Malta. Kupitia upanuzi huo, Meridianbet imeongeza mara mbili uwepo wake katika maeneo ya Malta na Gozo, ikiimarisha nafasi yake kama mwajiri na mtoa huduma muhimu katika soko hilo. Mafanikio haya yanaongeza uthabiti wa kampuni katika bara la Ulaya.
Sambamba na mageuzi hayo, Meridian Holdings Inc. imeweka wazi mpango wa kuunganisha hisa ili kuJIboresha kwa wawekezaji. Mkakati huu unalenga kuweka sawa thamani ya hisa zake na viwango vya kimataifa vya sekta ya michezo ya kubahatisha. Hii ni sehemu ya dira ya muda mrefu ya kuhakikisha ukuaji endelevu.
Akizungumzia hatua hiyo, Afisa Mtendaji Mkuu Zoran Milosevic alieleza kuwa mabadiliko ya jina yanaendana na maono ya kampuni ya kuwa jukwaa la kimataifa linalounganisha ubunifu, teknolojia na burudani. Alisisitiza kuwa lengo ni kuongeza thamani kwa wanahisa na kuimarisha nafasi ya kampuni katika masoko yote inayohudumia.


No comments:
Post a Comment