
SIKU ya leo inaenda kubadilisha maisha yako moja kwa moja kwani mechi kibao zipo uwanjani na nafasi ya kuondoka na ushindi ipo mikononi mwako. Ingia kwenye akaunti yako na uanze kubeti sasa.
Alhamisi ya leo kutakuwa na mtanange wa EPL wa kukata na shoka pale Uingereza kati ya Arsenal vs Liverpool ambao mpaka sasa wapo nafasi ya 4, huku wenyeji wao wakiwa nafasi ya 1. Mechi ya mkondo wa kwanza kuonana vijana wa Arteta waklipoteza hivyo hii ni mechi yao ya kulipa kisasi. Je watafanya nini leo?. Bashiri hapa.
Vilevile SUPER CUP, kule Hispania kuna mechi ya moto kabisa ambapo Atletico Madrid vs Real Madrid ambapo kila mtu anahitaji ushindi kwenye mechi hii. Takwimu zinaonesha kuwa mara ya mwisho kukutana vijana wa Diego Simeone waliondoka na ushindi mnono. ODDS KUBWA zipo hapa Meridianbet. Tandika jamvi hapa.
Mzigo mkubwa upo kwenye michezo ya Kasino ya mtandaoni kama vile Keno, Aviator, Poker, Roulette,Super Heli na mingine kibao. Jiunge leo kwa kutembelea tovuti ya meridianbet.co.tz au piga *149*10# kisha uanze safari yako ya ushindi.
Pia SERIE A kutakuwa na mechi mbili pekee ambapo mechi ya kwanza ni hii ya Cremonense vs Cagliari ambao wapo nafasi ya 15 na mwingine dakika 13 ambapo mara ya mwisho kukutana mwenyeji aliondoka na ushindi. ODDS KUBWA zipo kwenye mechi hii. Jisajili hapa.
Pia AC Milan atakipiga dhidi ya Genoa ambao wapo nafasi ya 12 huku wenyeji wao wakiwa nafasi ya 2 kwenye msimamo wa ligi. Milan msimu huu wanahitaji ubingwa kwenye wa ligi huku nafasi ya kuondoka na pointi 3 ikiwa kubwa sana kwao. Je nani unampa nafasi ya kushinda leo?. Tandika jamvi hapa.
Pia kule Ufaransa kutakuwa na mtanange wa PSG vs Marseile kwenye Kombe la Ufaransa. Meridianbet wameipa mechi hii ODDS KUBWA na machaguo zaidi ya 1000. Ingia kwenye jamvi lako na ubashiri sasa mechi hii.


No comments:
Post a Comment