JIACHIE

Karibuni Jamvini Wanajamii

Tangaza Hapa

Post Top Ad


RAIS MWINYI AMUAPISHA NAIBU MKURUGENZI WA ZAECA

Share This

 




Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amemuapisha Ndg. Amina Chande Muumini kuwa Naibu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Kuzuia Rushwa na Uhujumu Uchumi Zanzibar (ZAECA), kufuatia uteuzi wake uliofanywa hivi karibuni.


Hafla ya uapisho huo imefanyika leo, tarehe 22 Januari 2026, Ikulu, Zanzibar sambamba na Kikao cha Baraza la Mapinduzi

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad