JIACHIE

Karibuni Jamvini Wanajamii

Tangaza Hapa

Post Top Ad


Jisajili na Ushinde Mechi za Leo na Meridianbet

Share This

 

ANZA safari yako ya kutengeneza pesa na Meridianbet leo kwa kubashiri mechi na wakali hawa wa ubashiri. Tengeneza jamvi lako la ushindi leo na upige pesa nyingi kabisa.

EPL kuendelea kwa mechi kibao ambapo Fulham atakipiga dhidi ya Brighton ambapo mara ya mwisho kukutana walitoa sare huku kila timu leo hii ikitaka kupata ushindi ili kujiweka kwenye nafasi nzuri ya msimamo wa ligi. ODDS KUBWA zipo kwenye mechi hii leo. Bashiri hapa.

Pia mtanange mwingine ni huu Manchester City dhidi ya Wolves ambao wapo nafasi ya mwisho kwenye msimamo wa ligi. Vijana wa Pep Guardiola wapo nafasi ya 2 kwenye msimamo wa ligi huku mechi hii ikiwa ni muhimu sana kwao kushinda. Machaguo zaidi ya 1000 yapo hapa. Jisajili hapa.

Vijana wa Arne Slot watakuwa ugenini kumenyana dhidi ya AFC Bournemouth ambapo mara ya mwisho kukutana Lover waliondoka na ushindi mnono. Tofauti ya pointi kati yao hadi sasa ni 10. Je nani kuondoka na ushindi mnono siku ya leo?. Tandika jamvi hapa.

Utajiri upo kwenye michezo ya Kasino ya mtandaoni kama vile Keno, Aviator, Poker, Roulette,Super Heli na mingine kibao. Jiunge leo kwa kutembelea tovuti ya meridianbet.co.tz au piga *149*10# kisha uanze safari yako ya ushindi.

Vilevile ligi kuu ya Hispania, LALIGA itaendelea ambapo Rayo Vallecano atamenyana dhidi ya Osasuna ambao wapo nafasi ya 12 huku wenyeji wao wakiwa nafasi ya 13. Wote wana pointi sawa kwenye msimamo wa ligi. Je nani kuongeza pointi 3 na kusonga mbele?. Suka jamvi hapa.

Sevilla yeye atakuwa kibaruani dhidi ya Athletic Bilbao ambapo tofauti ya pointi kati yao ni 4 pekee. Mwenyeji anataka kulipa kisasi baada ya mechi ya mwisho walipokutana kupoteza. Kwa upande wa mgeni yeye anahitaji pia kuendeleza ushindi leo hii ili asonge mbele kwenye msimamo wa ligi. Nani unampa nafasi ya ushindi leo?. Tandika jamvi hapa.

Halikadhalika Real Madrid atasafiri kwenda kukipiga dhidi ya Villarreal ambao msimu huu wamekuwa bora kabisa kwenye ligi wakishika nafasi ya 3 huku tofauti ya pointi kati yao hadi sasa ni 7. Mechi ya mwisho kukutana kwenye ligi, Madrid waliondoka na ushindi. Je nani ni nani leo, ni Nyambizi wa Njano au Real?. Bashiri hapa.

BUNDESLIGA kule Ujerumani pia kama kawaida itaendelea bingwa mtetezi FC Bayern Munich atamenyana dhidi ya Augsburg katika dimba la Allianz Arena. Vijana wa Kompany wanazidi kukaa kileleni huku ushindi huu ukiwa ni muhimu kwao ili kuwapita mbali kabisa wanaomfuata. ODDS KUBWA zipo hapa. Jisajili hapa.

Kwa upande wa FC Heidenheim watamenyana dhidi ya RB Leipzig ambao wapo nafsi ya 5 kwenye msimamo wa ligi huku wenyeji wao wakiwa kwenye hali mbaya nafasi ya 16 hadi sasa. Pointi 3 ni muhimu sana kwa timu zote kulingana na nafasi zao kwenye ligi na malengo yao. Beti hapa.

Union Berlin atakuwa uso kwa uso dhidi ya Borussia Dortmund ambao wapo nafasi ya 2 wakiwa nyuma pointi 11 dhidi ya kinara wa ligi hadi sasa. Wenyeji wapo nafasi ya 9 kwenye msimamo wa ligi huku mtanange wa mwisho kukipiga BVB alishinda. Je nani kushinda leo?. Suka jamvi hapa.

Unaweza kutengeneza pia pesa mechi za ligi kuu ya Italia yaani SERIE A ambapo mapema kabisa Como 1907 atakiwasha dhidi ya Torino ambapo tofauti ya pointi kati yao hadi sasa ni 11. Vijana wa Fabregas wanahitaji kushinda mechi hii nyumbani waosgee nafasi ya juu. Machaguo zaidi ya 1000 yapo hapa. Jisajili hapa.

Fiorentina atapepetana dhidi ya Cagliari ambao wanashika nafasi ya 15 huku wenyeji wao wakiwa nafasi ya 17. Tofauti ya pointi kati yao hadi sasa ni pointi 5 pekee huku kila timu ikiwa na nafasi ya kuondoka na ushindi leo. ODDS KUBWA zipo mechi hii. Tengeneza jamvi hapa.

Wakati kwa upande wa Lazio yeye atakuwa ugenini kumenyana dhidi ya US Lecce ambao wapo nafasi ya 3 kutoka mwisho kwenye msimamo wa ligi hadi sasa. Meridianbet wanampa nafasi kubwa ya kushinda mgeni. Je wewe jamvi lako unaliweka kwa nani siku ya leo?. Bashiri hapa.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad