JIACHIE

Karibuni Jamvini Wanajamii

Tangaza Hapa

Post Top Ad


Nafasi ya Kuibuka Bingwa Hii Hapa

Share This

 


LEO hii una nafasi ya kuondoka na mkwanja wa maana kwani Meridianbet ndio chimbo la ODDS KUBWA na machaguo zaidi ya 1000. Timu kibao zipo uwanjani uingia sasa na usuke jamvi lako.

EPL kule Uingereza kutakuwa na mechi kali kabisa kati ya Manchester United vs Newcastle United ambapo mara ya mwisho kukutana kati yao msimu uliopita kwenye mechi mbili United walipoteza mechi zote. Meridianbet wameipa mechi hii ODDS KUBWA. Nani kuondoka na ushindi?. Je Mashetani Wekundu watalipa kisasi?. Bashiri hapa.

AFCON pia kuna mechi za kukupatia pesa ambapo katika Kundi A, kutakuwa na mechi kali kati ya Zambia vs Comoros ambapo mechi ya mwisho kukutana, mwenyeji alipoteza. Machaguo zaidi ya 1000 yapo kwenye mechi hii. Je unangoja nini kubashiri mechi hii?.

Mechi nyingine ni hii za wenyeji wa michuano hii, Morocco dhidi ya Mali ambao ni moja ya timu yenye kikosi bora kabisa huku wachezaji wao wakikipiga nje kwa silimia kubwa, kama ilivyo kwa wenyeji wao. Msimu wa 2021 ndipo walipoonana na mwenyeji aliondoka na ushindi. Wewe beti yako unaiweka kwa nani?. Jisajili hapa.

Tusua na michezo ya Kasino ya mtandaoni kama vile Keno, Aviator, Poker, Roulette, Wild Icy Fruits, Super Heli na mingine kibao. Jiunge leo kwa kutembelea tovuti ya meridianbet.co.tz au piga *149*10# kisha uanze safari yako ya ushindi.

Pia unaweza kubashiri mechi ya Angola dhidi ya Zimbabwe ambao mechi yao iliyopita walipoteza, huku wenyeji wao wakitoa sare mechi hiyo. Leo hii kwenye mechi ya kwanza kwenye michuano hii kila timu inahitaji ushindi ili kuanza vyema. Nafasi ya ushindi ipo kwako leo. Tandika jamvi hapa.

Egypt uso kwa uso dhidi ya South Africa ambapo hii ni moja ya mechi ambayo ni ya kibabe sana huku ikiwa na nafasi ya kukupatia maokoto. Mwenyeji akiwa ndio timu yenye mafanikio makubwa kuliko timu yoyote kwenye michuano hii, itaka kuanza na ushindi mnono. Je nani unampa nafasi ya kushinda siku ya leo?. Suka jamvi hapa.

Pia kule Uingereza, CHAMPIONSHIP kuna mechi za pesa, Millwall atamkaribisha Ipswich Town kwake ambapo tofauti ya pointi kati yao ni 1 pekee, yaani mwenyeji ni wa 4 na mgeni wake ni wa 5. Bashiri hapa.

Nao Vinara wa ligi, Conventry City watakuwa nyumbani kusaka ushindi dhidi ya Swansea City ambao wapo nafasi ya 19. Takwimu zinaonesha kuwa mara ya mwisho kukutana, mwenyeji aliondoka na ushindi. Mgeni kulipa kisasi siku ya leo?. Tengeneza jamvi na Meridianbet leo.

Kwa upande wa Leicester City wao wataumana dhidi ya Watford ambao mpaka sasa wapo nafasi ya 14 huku wenyeji wao wakiwa nafasi ya 8. Tofauti yao mpaka sasa ni pointi 2 pekee. ODDS KUBWA zipo mechi hii. Bashiri hapa.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad