JIACHIE

Karibuni Jamvini Wanajamii

Tangaza Hapa

Post Top Ad


Ulega Azindua Kampeni kwa Kishindo Mkuranga

Share This

 Mkuranga, Septemba 6, 2025: Mgombea Ubunge wa Jimbo la Mkuranga kupitia CCM, Abdallah Ulega, amezindua kampeni zake leo kwa kuvutia maelfu ya wananchi waliojitokeza kumshangilia.


Katika tukio hilo, Ulega alipiga picha ya selfie na wananchi, ishara ya mshikamano na mshikikiano na wapiga kura wake.

Wananchi walionesha hamasa kubwa, huku viongozi wa chama wakisisitiza mshikamanon na mshindi wa kishindo katika uchaguzi mkuu ujao.











 

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad