JIACHIE

Karibuni Jamvini Wanajamii

Tangaza Hapa

Post Top Ad


MAKAMU WA RAIS AKIWASILI NCHINI MADAGASCAR KUSHIRIKI MKUTANO WA 45 WA SADC

Share This

 

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akisalimiana na Waziri Mkuu wa Madagascar Mhe. Christian Ntsay wakati alipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Ivato – Antananarivo leo tarehe 15 Agosti 2025.


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Ivato – Antananarivo nchini Madagascar leo tarehe 15 Agosti 2025.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad