JIACHIE

Karibuni Jamvini Wanajamii

Tangaza Hapa

Post Top Ad


Matukio mbalimbali katika banda la VETA katika Maonesho ya Sabasaba.

Share This

 

Watoto wakiwa banda la VETA katika Maonesho ya Sabasaba wakijifunza Uchoraji ,Ushonaji ,Ususi ikiwa ni malengo ya VETA watoto waanze kujua ufundi Stadi  mapema.
Mhitimu wa VETA ambaye ni mlemavu hana mikono akionyesha umahiri wa kuchora kwa kutumia miguu katika Banda la VETA  kwenye Maonesho ya Sabasaba.
Watoto wakiwa banda la VETA katika Maonesho ya Sabasaba wakijifunza Uchoraji wa vitu mbalimbali  ikiwa ni malengo ya VETA watoto waanze kujua ufundi Stadi  mapema









No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad