NSSF inashiriki maonesho haya kwa lengo la kutoa elimu ya hifadhi ya jamii kwa ujumla ikiwemo elimu kuhusu mafao, jinsi ya kujisajili kwa wanachama wapya kutoka sekta binafsi na wananchi waliojiri wenyewe, pia wanapewa elimu jinsi wanavyoweza kujichangia kupitia simu ya mkononi popote walipo, fursa za uwekezaji katika miradi ya nyumba na viwanja na elimu kuhusu huduma za kidijiti (NSSF Portal).
.jpeg)

.jpeg)

.jpeg)
.jpeg)

.jpeg)



No comments:
Post a Comment