JIACHIE

Karibuni Jamvini Wanajamii

Tangaza Hapa

Post Top Ad


Mke wa Rais Finland Afanya “Royal Tour” Makumbusho ya Taifa Dar

Share This
Na Mwandishi Wetu

Mke wa Rais wa Finland, Suzanne Innes-Stubb, leo Jumanne Mei 14, 2025, amefanya “Royal Tour” kwenye Makumbusho ya Taifa Dar es Salaam ambapo pamoja na mambo mengine alifurahia sana historia ya zamadam na utamaduni wa Tanzania.

Akipokewa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Miliasili na Utalii, Dkt. Hassan Abbasi na Mkurugenzi wa Makumbusho hiyo Dkt. Noel Luoga, Mama Suzanne Stubb, mtaalam wa sheria za Umoja wa Ulaya, ameeleza kufurahia historia ya zamadam na kueleza matamanio yake kwa watafiti kutoka nchini Finland kuja kujifunza zaidi.



No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad