jlogo

Karibuni Jamvini Wanajamii

topads

Post Top Ad

demo-image

Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ahutubia Bunge la Jamhuri ya Angola Jijini Luanda

Share This

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akipokea salamu ya heshima ya kijeshi mara baada ya kuwasili katika Bunge la Angola Jijini Luanda tarehe 08 Aprili, 2025.
01a

01..
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akilihutubia Bunge la Jamhuri ya Angola Jijini Luanda katika muendelezo wa Ziara yake ya Kiserikali nchini humo tarehe 08 Aprili, 2025.
02g

02c

02f

02%20(1)

02a

02d
Matukio mbalimbali mara baada ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kuwasili katika Bunge la Angola Jijini Luanda tarehe 08 Aprili, 2025.
Comment Using!!

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad