Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
akiwasili katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Bole, Addis Ababa
nchini Ethiopia tarehe 14 Februari, 2025 kwa ajili ya kushiriki Mkutano
wa kawaida wa 38 wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Umoja wa Afrika (AU).
Pamoja na mambo mengine pia Mhe. Rais Dkt. Samia atashiriki mkutano wa
Baraza la Amani na Usalama la Umoja wa Afrika
Post Top Ad

Tags
# HABARI
Share This
Jiachie Blog
A Tanzanian blog operating since 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.
Newer Article
Rais Dkt. Samia ashiriki Mkutano wa Baraza la Amani na Usalama la Umoja wa Afrika (AUPSC) Addis Ababa nchini Ethiopia
Older Article
Rais Dkt. Samia Awasili Addis Ababa nchini Ethiopia
HABARI
Labels:
HABARI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment