jlogo

Karibuni Jamvini Wanajamii

topads

Post Top Ad

demo-image

Popote, Kila Mtu ni Mshindi! Wateja wa Vodacom Mwanza Wajaziwa Mafuta Bure

Share This



Afisa bima wa VodaBima kutoka Vodacom Tanzania PLC kanda ya Ziwa, Hellen Masali akimuwekea mafuta mteja wa kampuni hiyo Omari Ramadhan jijini Mwanza. Mafuta hayo yametolewa bure ikiwa ni moja ya adhma ya kampeni yao ya msimu wa sikukuu ya kurejesha tabasamu kwa wateja wake katika msimu huu wa sikukuu. Ili kushinda Mafuta bure endelea kulipia kwa kutumia M-pesa.
MWANZA%20WESE%20ACTIVATION%202

Afisa bima wa VodaBima kutoka Vodacom Tanzania PLC kanda ya Ziwa, Hellen Masali akimuwekea mafuta mteja wa kampuni hiyo Zacharia Regan jijini Mwanza.
MWANZA%20WESE%20ACTIVATION%203
Mkuu wa kanda ya ziwa kutoka Vodacom Tanzania PLC, Venance Chapaulinge akimuwekea mafuta mteja wa kampuni hiyo Rajabu Kawambwa jijini Mwanza.


MWANZA%20WESE%20ACTIVATION%204
Mkuu wa kanda ya ziwa kutoka Vodacom Tanzania PLC, Venance Chapaulinge akimuwekea mafuta mteja wa kampuni hiyo Rajabu Kawambwa jijini Mwanza.


Comment Using!!

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad