Hundi hiyo ilikabidhiwa kwa Mhe. Rais na Meneja Uhusiano na Elimu kwa Umma wa NSSF, Bi. Lulu Mengele, kwa niaba ya Mkurugenzi Mkuu wa NSSF, Bw. Masha Mshomba. Kulia kwa Mhe. Rais ni Mhe. Mama Mariam Mwinyi, na kushoto kwake ni Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Mhe. Tabia Maulid Mwita, pamoja na Mhasibu wa NSSF, Bi. Sirinael Mwakyusa.
NSSF ilikuwa miongoni mwa wadhamini wa Kombe la Mapinduzi 2025.


.jpeg)
.jpeg)


No comments:
Post a Comment