RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwaongoza waombolezaji mbalimbali, wakiwemo viongozi wa Chama na Serikali, wakati wa kutoa heshima na kuaga mwili wa aliyekuwa Mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jimbo la Kigamboni na Mkurugenzi Mteule wa Shirika ka Afya Duniani (WHO), Kanda ya Afrika, Mhe. Faustine Engelbert Ndugulile, leo Jumatatu, tarehe 2 Desemba 2024, katika Viwanja vya Karimjee, jijini Dar Es Salaam.
Post Top Ad

RAIS DKT. SAMIA AONGOZA WAOMBOLEZAJI KUTOA HESHIMA NA KUAGA MWILI WA FAUSTINE NDUGULILE
Share This
Tags
# HABARI
Share This
Jiachie Blog
A Tanzanian blog operating since 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.
Newer Article
MAONESHO YA NNE YA VIWANDA KUZINDULIWA DES 17, 2024 KIBAHA
Older Article
RAIS SAMIA AONGOZA WAOMBOLEZAJI KUAGA MWILI WA ALIYEKUWA MKURUGENZI MTEULE WHO
RAIS DKT. SAMIA ACHANGIA SH. MILIONI 50 KUMUENZI PADRI SHIRIMA
Ahmad MichuziMar 20, 2025INEC YATOA UFAFANUZI WANAOJIANDIKISHA ZAIDI YA MARA MOJA DAR
Ahmad MichuziMar 20, 2025Benki ya NBC Yaandaa Hafla ya Futari kwa Wateja wake Dar es Salaam, Mwanasheria Mkuu Asisitiza Taasisi za Fedha Kuheshimu Imani za Wateja.
Ahmad MichuziMar 20, 2025
Labels:
HABARI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment