JIACHIE

Karibuni Jamvini Wanajamii

Tangaza Hapa

Post Top Ad


MONGELLA MGENI RASMI UZINDUZI WA KAMPENI ZA UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA MBEYA

Share This
Naibu Katibu Mkuu CCM Bara Ndugu John V. K Mongella anatarajia kuwa mgeni rasmi katika uzinduzi wa kampeni za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Mkoa wa Mbeya tarehe 20 Novemba 2024 uzinduzi utakaofanyika katika Uwanja wa Kabwe.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad