Kwa mujibu wa Reuters uamuzi wa majaji wa ICC umeeleza kuna sababu za kuridhisha za kuamini kuwa Netanyahu na Yoav Gallant walihusika na vitendo vya uhalifu ikiwa ni pamoja na mauaji, mateso na njaa kama silaha ya vita na sehemu ya mashambulizi makubwa na ya kimfumo dhidi ya raia wa Gaza.



No comments:
Post a Comment