Viongozi wengine walioshiriki ibada hiyp pamoja na Mhe. Rais Dkt. Samia, ni pamoja na Mhe. Dkt. Phillip Isdory Mpango, Makamu wa Rais ws Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Hussen Ali Mwinyi, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar, Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, Katibu Mkuu wa CCM, Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa, Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mhe. Dkt. Dotto Mashaka Biteko, Naibu Waziri Mkuu.












No comments:
Post a Comment