MKE wa Rais wa Zanzibar, Msarifu na Mwenyekiti wa Bodi ya wadhamini ya Taasisi ya Zanzibar Maisha Bora Foundation Mhe. Mama Mariam Mwinyi ameeleza kufurahishwa na mchango mkubwa wa wake wa Marais wa Afrika, hasa katika kutoa ufadhili wa masomo kwa fursa 2,080 kwa madaktari chipukizi kutoka nchi 52 za Afrika kwenye taaluma 44 muhimu zinazohitajika, kama vile “oncology,” utaalamu wa afya ya uzazi kwa kina mama, tiba ya kisukari, na magonjwa mengine.

.jpeg)
No comments:
Post a Comment