JIACHIE

Karibuni Jamvini Wanajamii

Tangaza Hapa

Post Top Ad


RAIS WA ZANZIBAR MHE.DK.HUSSEIN MWINYI AZUNGUMZA VNA WACHEZAJI WA SIMBA NA VIONGOZI WAO IKULU ZANZIBAR

Share This

 



WACHEZAJI wa Timu ya Simba na Viongozi wao wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akizungumza na Wachezaji hao katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 25-9-2024, kwa ajili ya mazungumzo na kumsalimia, wakiwa Zanzibar kwa ajili ya mchezo wao wa Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya Timu ya Azam utakaofanyika Uwanja wa New Amaan Complex Zanzibar 26-9-2024.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akikabidhia Jezi ya Timu ya Simba na Nahodha wa Timu hiyo Mohammed Hussein, baada ya kumaliza mazungumzo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 25-9-2024.(Picha na Ikulu)

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad