JIACHIE

Karibuni Jamvini Wanajamii

Tangaza Hapa

Post Top Ad


MONGELA AZUNGUMZA NA VIONGOZI WA CHAMA NA WAZEE KATA YA BULUNGWA, HALMASHAURI YA USHETU

Share This
Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, John Mongella, akizungumza na Viongozi wa chama na Jumuiya ngazi ya Kata na Matawi,mabalozi,Wazee maarufu na viongozi wa Kimila katika kata ya Bulungwa,Halmashauri ya Ushetu mkoani Shinyanga,leo Septemba 8,2024.

Mongella anaendelea na ziara yake ya siku saba mkoani Shinyanga yenye lengo la kukagua utekelezaji wa Ilani ya CCM ya 2020-2024, kuimarisha uhai wa chama sambamba na kujitambulisha.










No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad