JIACHIE

Karibuni Jamvini Wanajamii

Tangaza Hapa

Post Top Ad


Vyuo Vikuu Vyote vya Afya na Sayansi Shirikishi Nchini Vyatakiwa Kutumia Mtaala Mmoja Wa Elimu

Share This

 

Mkurugenzi wa Elimu ya Juu kutoka Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa Peter Msofwe akizungumza wakati wa ufunguzi wa  kongamano la mradi wa kufundisha wataalamu wa Afya (THET), ambapo mbali na mambo mengine wamejadili  kuanzishwa kwa Academy ambayo itatumika kuboresha mafunzo ya walimu wa vyuo vikuu katika sekta ya afya, kutengenezwa na kuanza kutumika kwa mitaala linganifu kwenye vyuo vikuu vya afya nchini na kutengenezwa kwa mfumo wa kuunganisha wahitimu wa afya nchini. Kongamano hilo imefanyika leo Agosti 26,2024 MUHAS Jijini Dar es Salaam.
Makamu Mkuu wa chuo cha Afya na Sayansi Shirikishi (MUHAS), Prof.  Apollinary Kamuhabwa akizungumza wakati wa kongamano la wa THET leo Agosti 26,2024 jijini Dar es Salaam.
Prof. Blanding Mbaga kutoka kutoka  Kilimanjaro Christian Medical University College,  akizungumza wakati wa kongamano hilo.
Mratibu wa mradi wa mapitio wa namna ya kufundisha wataalamu wa afya  (THET) Profesa Gideon Kusigabo akizungumza wakati wa ufunguzi wa kongamano hilo lililofanyika leo Agosti 26,2024 katika chuo cha MUHAS Jijini Dar Es Salaam.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad