JIACHIE

Karibuni Jamvini Wanajamii

Tangaza Hapa

Post Top Ad


SPIKA WA BUNGE NA RAIS WA IPU, DKT. TULIA AKUTAN NA RAIS WA CHINA

Share This

 

Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson (Wa kwanza Kushoto) akizungumza jambo na Rais wa Jamhuri ya Watu wa China, Mhe. Xi Jinping (kulia) katika Ikulu ya China Agosti 20, 2024. Wengine ni Maspika wa Mabunge mbalimbali Wanachama wa IPU ambao walishiriki katika kikao maalum na Rais huyo.
PICHA NA BUNGE

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad