JIACHIE

Karibuni Jamvini Wanajamii

Tangaza Hapa

Post Top Ad


NACTVET yatoa Elimu Maonesho ya Nane Nane Zanzibar

Share This

 

Afisa Uthibiti Ubora Mwandamizi wa NACTVET, Mohammed Mbasha akihudumia wananchi waliotembelea banda la NACTVET kwenye Maonesho ya Kilimo (Nanenane) yanayoendelea katika Viwanja vya Dole Kizimbani, Zanzibar

Wananchi na wadau mbalimbali wakipata huduma katika Banda la Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi na Mafunzo ya Ufundi Stadi (NACTVET) kwenye Maonesho ya Kilimo (Nanenane) yanayoendelea katika Viwanja vya Dole Kizimbani, Zanzibar. Maonesho hayo yalianza tarehe 1 Agosti na yanaendelea hadi tarehe 14 Agosti, 2024.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad