JIACHIE

Karibuni Jamvini Wanajamii

Tangaza Hapa

Post Top Ad


BREAKING NEWS: DKT. NDUGULILE ASHINDA NAFASI YA MKURUGENZI WHO KANDA YA AFRIKA

Share This


Dkt. Faustine Ndugulile, amechaguliwa kuwa Mkurugenzi wa Shirika la Afya Duniani (WHO), Kanda ya Afrika katika uchaguzi uliofanyika leo Jumanne, tarehe 27 Agosti 2024 mjini Brazzaville, Jamhuri ya Congo. Dkt. Ndugulile amewashinda wagombea wengine watatu kutoka Senegal, Niger na Rwanda.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad