JIACHIE

Karibuni Jamvini Wanajamii

Tangaza Hapa

Post Top Ad


Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ashiriki Maadhimisho ya Siku ya Kumbukumbu ya Mashujaa

Share This

 Rais na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ashiriki Maadhimisho ya Siku ya Kumbukumbu ya Mashujaa katika Mji wa Serikali Mtumba Dodoma

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiweka silaha za Asili (Mkuki Ngao) na shada la maua kwenye mnara wa Mashujaa wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Kumbukumbu ya Mashujaa. Maadhimisho hayo yamefanyika katika Uwanja wa Mashujaa uliopo kwenye Mji wa Serikali Mtumba Mkoani Dodoma tarehe 25 Julai, 2024.

. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwasili katika Uwanja wa Mashujaa uliopo Mji wa Serikali Mtumba Mkoani Dodoma kwa ajili ya kushiriki Siku ya Kumbukumbu ya Mashujaa tarehe 25 Julai, 2024.


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa amesimama kwa ajili ya heshima ya Wimbo wa Taifa na ule wa Afrika Mashariki wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Kumbukumbu ya Mashujaa kwenye Mji wa Serikali Mtumba Mkoani Dodoma tarehe 25 Julai, 2024.




Matukio mbalimbali pichani wakati wa maadhimisho ya Siku ya kumbukumbu ya Mashujaa katika Mji wa Serikali Mtumba Jijini Dodoma tarehe 25 Julai, 2024.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad