CPA. Makalla ambae pia ni Mlezi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) mkoa wa Dar es Salaam, amekagua Uwanja huo, ikiwa ni katika muendelezo wa ziara yake yenye lengo la kukagua Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya Chama hicho ya Mwaka 2020/2025.


































Jiachie Blog
No comments:
Post a Comment