Waziri wa Madini, Mhe. Anthony Mavunde akizungumza na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Helium One, Lorna Blaisse na Mkurugenzi wa Fedha na Biashara, Graham Jacobs wakifuatilia Bunge la Bajeti ya Wizara ya mwaka 2024/2025 lililopitishwa na Bunge. Helium One ilifikisha asilimia 4.7 ya heliamu kutoka kwenye kisima chao cha Itumbula Magharibi-1 mwezi Februari kilichopatikana kusini mwa Rukwa. Kampuni hiyo itaanza mwendelezo wa shughuli za majaribio ya kisima mwezi Julai.
WAZIRI WA MADINI ATETA NA OFISA MTENDAJI WA HELIUM ONE BUNGENI
Share This
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Author Details
A Tanzanian blog operating since 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.
No comments:
Post a Comment