JIACHIE

Karibuni Jamvini Wanajamii

Tangaza Hapa

Post Top Ad


TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA

Share This

 

Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania anatangaza nafasi za ajira kwa vijana wenye elimu ya Shahada, Stashahada, Astashahada, Kidato cha sita na Kidato cha nne.

 

1.   Sifa za Muombaji

a)      Awe raia wa Tanzania kwa kuzaliwa.

b)      Awe amehitimu kidato cha nne au sita kuanzia mwaka 2018 hadi 2023.

c)       Kwa waombaji wa kidato cha nne na sita pamoja na wenye Astashahada wawe na umri kuanzia miaka 18 hadi 25.

d)      Kwa waombaji wa kidato cha nne wawe na ufaulu wa daraja la kwanza mpaka la nne (Division I – IV). Kwa waombaji wenye ufaulu wa daraja la nne (Division IV) wawe na ufaulu wa alama (Point) 26 hadi 28.

e)      Kwa waombaji wa kidato cha sita wawe na ufaulu wa daraja la kwanza mpaka la tatu (Division I – III)

f)        Wahitimu wa Shahada na Stashahada wawe na umri kuanzia miaka 18 hadi 30.

g)      Awe na urefu usiopunguwa futi tano na inchi nane (5’8”) kwa wanaume, na futi tano inchi nne (5’4”) kwa wanawake.

h)      Awe na kitambulisho cha taifa au namba ya utambulisho kutoka mamlaka ya vitambulisho vya taifa (NIDA).

i)         Awe na uwezo wa kuongea lugha ya Kiswahili na Kingereza.

j)         Awe na afya njema kimwili na kiakili iliyothibitishwa na daktari wa Serikali.

k)       Awe hajaoa/kuolewa au kuwa na mtoto.

l)         Awe hajawahi kutumia dawa za kulevya.

m)     Awe tayari kuhudhuria mafunzo ya awali ya taaluma ya Polisi.

n)      Awe hajaajiriwa au hajawahi kuajiriwa na taasisi nyingine ya Serikali.

o)      Awe tayari kufanya kazi za Polisi mahali popote Tanzania.

p)      Awe tayari kujigharamia katika hatua zote za usaili endapo ataitwa kwenye usaili.

q)      Asiwe na alama za kuchorwa mwilini (tattoo).

r)        Asiwe na kumbukumbu za uhalifu.

s)       Kwa waombaji wenye elimu ya kiwango cha Shahada (NTA level 8), Stashahada (NTA level 6) na Astashahada (NTA Level 5 au NVA Level 3) wanatakiwa wawe na fani zilizoainishwa kwenye tangazo hili.


2.  Utaratibu wa kutuma Maombi

1.    Waombaji wote wanatakiwa waandike barua za maombi wao wenyewe kwa mkono (Handwriting) bila kusahau namba za simu na watumie anuani ya Mkuu wa Jeshi la Polisi S.L.P 961 DODOMA.

 

2.    Waombaji wote wafanye maombi yao kupitia kwenye mfumo wa Ajira wa Polisi  (TANZANIA  POLICE  FORCE    RECRUITMENT  PORTAL)

unaopatikana kwenye tovuti ya Jeshi la Polisi www.polisi.go.tz

 

3.    Mwisho wa kupokea maombi ni tarehe 16/05/2024.

 

 

 

Imetolewa na:

Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania Makao Makuu ya Jeshi la Polisi

S.L.P 961 DODOMA 09/05/2024


FANI ZINAZOTAKIWA KWA KILA NGAZI YA ELIMU

S/N

FANI

 

DEGREE (SHAHADA)

1

AIRCRAFT INSURANCE

2

ANAESTHESIA

3

ANIMAL HEALTH AND PRODUCTION

4

ANIMAL SCIENCE/NUTRITION

5

ARCHITECTURE (LANDSCAPE,TECHNOLOGY AND INTERIOR DESIGN)

6

AUTOMOBILE ENGINEERING

7

BIOTECHNOLOGY AND LABORATORY SCIENCE

8

CHEMISTRY

9

CIVIL ENGENEERING

10

COMPUTER ENGINEERING

11

COMPUTER INFORMATION SYSTEM

13

COMPUTER NETWORK AND SECURITY ENGENEERING

14

COMPUTER SCIENCE

15

COMPUTER SYSTEM AND NETWORKING

16

CYBER FORENSIC & CYBER SECURITY

17

DENTAL SURGEON

18

DIVINITY

19

ECONOMICS AND STATISTICS

20

ELECTRICAL ENGINEERING

21

ELECTRONICS AND TELECOMMUNICATION ENGINEERING

23

FORENSIC ACCOUNTING

24

FORENSIC ARCHEOLOGY

25

FORENSIC ART

26

FORENSIC DACTYLOGRAPHY

27

FORENSIC ODONTOLOGY

28

FORENSIC SCIENCE

29

HEALTH INFORMATION SYSTEM

30

HUMAN NUTRITION

31

INFORMATION AND COMMUNICATION TECHNOLOGY

32

INTERNATIONAL RELATION AND DIPLOMACY

33

ISLAMIC KNOWLEDGE

34

JOURNALISM

35

LABORATORY TECHNOLOGY


36

LAND MANAGEMENT AND EVALUATION

37

LAW ENFONCEMENT

38

LEADERSHIP AND MANAGEMENT

39

LIBRARY AND INFORMATION STUDIES

40

LINGUISTICS - ARABIC, CHINESE & PORTUGAL

41

MARINE ENGINEERING

42

MARITIME TRANSPORTATION

43

MASS COMMUNICATION

44

MASTER FISHERMAN

45

MECHANICAL ENGINEERING

46

MECHATRONICS ENGINEERING

47

MEDICAL DOCTOR

48

MOLECULAR BIOLOGY AND BIOTECHNOLOGY

49

MUSIC

50

NAVIGATION

51

NURSING

52

PATHOLOGIST

53

PHARMACY

54

PHILOSOPHY

55

PHYSICAL EDUCATION

56

PHYSICS

57

PHYSIOTHERAPY

58

PILOT(CPL LICENCE)

59

POLITICAL SCIENCE

60

PSYCHIATRIST

61

PUBLIC ADMINISTRATION

62

PUBLIC RELATION

63

QUANTITY SURVEYOR

64

RADIOLOGY

65

REAL ESTATE

66

RECORD AND ARCHIVES MANAGEMENT

67

SECRETARIAL

68

SIGN LANGUAGE

69

SOFTWARE ENGENEERING

70

SOUND ENGINEERING

71

SURVEYOR

72

TRANSLATION AND INTERPRETATION

73

TRANSPORT AND LOGISTICS

74

VERTENARY LABOLATORY


 

DIPLOMA (STASHAHADA)

1

ANIMAL HEALTH AND PRODUCTION

2

ARCHITECTURE

3

ASSISTANT MEDICAL OFFICER ANAESTHESIA

4

ASSISTANT NURSING OFFICER

5

AUTO ELECTRICAL

6

AUTOMOBILE ENGINEERING

7

BIOMEDICAL ENGINEERING

8

BOAT BUILDING

9

BOAT SKIPPER

10

CARPENTRY AND JOINERY

11

CIVIL ENGENEERING

12

CLINICAL OFFICER

13

CLINICAL OFFICER ANAESTHESIA

14

COMPUTER ENGENEERING

15

COMPUTER INFORMATION SYSTEM

17

COUNSELING AND PSYCHOLOGY

18

CYBER FORENSIC AND CYBER SECURITY

19

DENTAL

20

DIGITAL JOURNALISM

21

DIVINITY

22

EDUCATION WITH SPECIAL NEEDS

23

ELECTRONIC AND TELECOMMUNICATION ENGINEERING

24

FLIGHT OPERATION

25

FORENSIC ART

26

GRAPHIC DESIGNER

27

HEALTH INFORMATION SYSTEM

28

HOTEL MANAGEMENT

29

INDUSTRIAL ELECTRICAL

30

INFORMATION AND COMMUNICATION TECHNOLOGY

31

ISLAMIC KNOWLEDGE

32

LAND MANAGEMENT AND EVALUATION

33

LAND SURVEYOR

34

LINGUISTICS

35

MARINE ENGINEERING

36

MASTER FISHERMAN

37

MECHANICAL ENGINEERING

38

MECHATRONICS ENGINEERING

39

MEDICAL LABARATORY TECHNICIAN


40

MULTIMEDIA AND MASS COMMUNICATION

41

MUSIC

42

NAVIGATION

43

NETWORK ENGINEERING

44

NURSING

45

NURSING ANAESTHESIA

46

OPTOMETRIST

47

PHARMACY

48

PHOTO JOURNALISM

49

PHYSICAL EDUCATION

50

PHYSIOTHERAPY

51

PILOT(CPL LICENCE)

52

PLUMBING

53

RADIOLOGY

54

RECORD AND ARCHIVES MANAGEMENT

55

SEAMANSHIP

56

SECRETARIAL

57

SECRETARIAL

58

SIGN LANGUAGE

59

SOFTWARE ENGENEERING

60

SOUND ENGINEERING

61

SPORTS AND MANAGEMENT ADMINISTRATION

62

THEATRE AND PERFORMING ARTS

63

TRANSLATION AND INTERPRETATION

64

TRUCK MECHANICS

65

VEHICLE PROGRAMMER

66

VIDEO AND RADIO PRODUCTION

 

 

CERTIFICATE (ASTASHAHADA)

1

AIR CONDITION AND REFRIGERATION

2

ALUMINIUM FITTING & FABRICATION

3

ANIMAL HEALTH AND PRODUCTION

4

ARCHIEVE & DOCUMENTATION

5

ASSISTANT CLINICAL OFFICER

6

AUTO BODY REPAIR

7

AUTO ELECTRICAL

8

AUTO MOBILE MECHANICS

9

AUTOMOBILE ENGENEERING

10

AUTOMOTIVE AIR CONDITION TECHNICIAN

11

AUTOMOTIVE ELECTRONICS


12

BOAT PAINTING

13

CABIN CREW LICENCE

14

CAPENTRY & JOINERY

15

CAR INTERIOR DESIGN

16

CLEARING & FORWADING

17

COMPUTER APPLICATION

18

CYBER FORENSIC AND CYBER SECURITY

19

CYBER SECURITY

20

DENTAL ASSISTANT

21

DIVINITY

22

ELECTRICAL INSTALLATION

23

FITTING & TURNER

24

FOOD & BEVERAGE

25

FORENSIC

26

GRAPHIC ARTS AND PRINTING

27

HEALTH INFORMATION SYSTEM

28

HOTEL MANAGEMENT

29

ISLAMIC KNOWLEDGE

30

JOURNALISM WITH DRONE LICENCE

31

LABARATORY TECHNICIAN

32

LINGUISTICS

33

MANDATORY COURSES

34

MARINE ENGINEERING

35

MASONRY & BRICKLAYING

36

MASTERFISHERMAN

37

MECHANICAL ENGINEERING

38

MEDICAL ATTENDANT

39

MEDICAL LABORATORY

40

MEDICAL RECORD

41

MORTAL REWINDING

42

MOTOR CYCLE MECHANICS

43

MOTOR VEHICLE MECHANICS

44

MUSIC AND SOUND PRODUCTION

45

NAVIGATION

46

NURSING

47

PAINTING

48

PAINTING AND SIGN WRITING

49

PHOTOGRAPHY

50

PHYSICAL EDUCATION

51

PILOT(CPL LICENCE)

52

PLUMBING

53

PSV DRIVERS WITH CLASS C1 LICENCE AND ABOVE

54

RADIOLOGY


55

RETING ENGINEERING

56

SCUBA DIVING

57

SEWING MACHINE MAINTANANCE

58

SIGN LANGUAGE

59

SPORTS AND MANAGEMENT ADMINISTRATION

60

STOREKEEPING

61

TAILORING

62

THEATRE AND PERFORMING ARTS

63

TRUCK DRIVERS WITH CLASS E LICENCE

64

TRUCK MECHANICS

65

VEHICLE PROGRAMING

66

WELDING & FABRICATION

 

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad