JIACHIE

Karibuni Jamvini Wanajamii

Tangaza Hapa

Post Top Ad


PROFESA PALLANGYO ATEMBELEA MABANDA MBALIMBALI , MAADHIMISHO YA KITAIFA YA ELIMU

Share This

  

Afisa Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Uhasibu Tanzania (TIA) Profesa William Pallangyo  akipokea diary na taarifa mbalimbali za Tume ya Ajira  wakati alipotembelea Banda hilo kwenye  Maadhimisho ya Kitaifa ya Elimu ,Ubunifu na Ujuzi yanayoendelea katika Viwanja Vya Shule ya Popatlal Mjini Tanga.

Afisa Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Uhasibu Tanzania (TIA) Profesa William Pallangyo  akipata maelezo kwa Afisa Uhusiano wa Chuo cha Usimamizi wa  Fedha (IFM)wakati alipotembelea Banda la IFM kwenye Maadhimisho ya Kitaifa ya Elimu ,Ubunifu na Ujuzi yanayoendelea katika Viwanja Vya Shule ya Popatlal Mjini Tanga.
Afisa Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Uhasibu Tanzania (TIA) Profesa William Pallangyo  akipata maelezo katika Banda la Tume ya Ajira  wakati alipotembelea Banda hilo kwenye  Maadhimisho ya Kitaifa ya Elimu ,Ubunifu na Ujuzi yanayoendelea katika Viwanja Vya Shule ya Popatlal Mjini Tanga.

Afisa Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Uhasibu Tanzania (TIA) Profesa William Pallangyo  akizungumza na  maelezo kwa Afisa Uhusiano wa Chuo cha Usimamizi wa  Fedha (IFM)wakati alipotembelea Banda la IFM kwenye Maadhimisho ya Kitaifa ya Elimu ,Ubunifu na Ujuzi yanayoendelea katika Viwanja Vya Shule ya Popatlal Mjini Tanga.
MAfisa Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Uhasibu Tanzania (TIA) Profesa William Pallangyo  akipata maelezo katika Banda la Chuo Kikuu Huria Tanzania  (OUT) wakati alipotembelea Banda hilo kwenye  Maadhimisho ya Kitaifa ya Elimu ,Ubunifu na Ujuzi yanayoendelea katika Viwanja Vya Shule ya Popatlal Mjini Tanga.

MAfisa Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Uhasibu Tanzania (TIA) Profesa William Pallangyo  akiwa katika ya picha ya  pamoja na watumishi wa Chuo Kikuu Huria Tanzania  (OUT) wakati alipotembelea Banda hilo kwenye  Maadhimisho ya Kitaifa ya Elimu ,Ubunifu na Ujuzi yanayoendelea katika Viwanja Vya Shule ya Popatlal Mjini Tanga.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad