JIACHIE

Karibuni Jamvini Wanajamii

Tangaza Hapa

Post Top Ad


BARRICK YAFANIKISHA KONGAMANO YA WANAFUNZI VYUO VYA ELIMU YA JUU MKOANI MWANZA

Share This

KAMPUNI ya Barrick nchini imedhamini kongamano la Vyuo vya elimu ya juu mkoani Mwanza lililoandaliwa na taasisi ya AIESEC Tanzania na kufanyika katika Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino ambapo wanafunzi walioshiriki walipata fursa ya kujengewa uwezo kuhusiana na masuala ya kujiamini,jinsi ya kujiajiri na kupata ajira sambamba na kutambua fursa zilizopo zinatozotokana na mabadiliko ya kidigitali yanayoendelea kutokea duniani.

Afisa Rasilimali watu Mwandamizi wa Barrick, Renatus Malawa, akiongea na wanafunzi katika kongamano hilo.


Naibu Makamu Mkuu wa Chuo cha Mtakatifu Augustino,Utawala na Fedha Prof Agnes Nyomola akiongea katika kongamano hilo.

.Baadhi ya wafanyakazi wa Barrick walishiriki katika kongamano hilo

Afisa Rasilimali watu Mwandamizi Barrick, Renatus Malawa akimkabidhi zawadi za Tshirt Naibu Makamu Mkuu wa chuo cha cha Mtakatifu Augustino,Utawala na Fedha Prof Agnes Nyomola.

Picha ya pamoja ya viongozi wa Chuo,AIESEC na wafanyakazi wa Barrick

Wanafunzi wakisiliza mada mbalimbali wakati wa kongamano hilo

Baadhi ya wanafunzi wa Chuo cha Mtakatifu Augustino cha jijini Mwanza, wakionesha vipeperushi vya Kampuni ya Barrick vyenye QR codes wanazoweza kuskani na kupata fursa mbalimbali zinazotolewa na kampuni hiyo, wakati wa kongamano hilo.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad