JIACHIE

Karibuni Jamvini Wanajamii

Tangaza Hapa

Post Top Ad


Tawi la NMB Dumila lazinduliwa rasmi

Share This

 


Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Mhe, Adam Malima (wa tatu kulia), akikata utepe kuashiria uzinduzi rasmi wa Tawi jipya la Benki ya NMB Dumila lililopo mkoani Morogoro, wengine katika picha ni Mkuu wa Wilaya ya Kilosa, Shaka Hamdu Shaka (wa tatu kushoto), Afisa Mkuu Wateja Binafsi na Biashara wa Benki ya NMB, Filbert Mponzi (wa pili kulia), Mkuu wa Idara ya Masoko na Mawasiliano wa Benki ya NMB, Rahma Mwapachu (kulia), Meneja Uendeshaji Benki Kuu ya Tanzania (BoT) Dodoma, Lilian Silaa (kushoto) na wa pili kushoto ni Meneja wa NMB Kanda ya Kati, Janeth Shango.


Meneja Tawi la NMB Dumila, Innocent Kato alimwelezea Mhe, Adam Malima kuhusu huduma zilolewazo na Tawi la NMB Dumila baada ya uzinduzi rasmi.

Sehemu ya wageni waalikwa Waliohudhuria uzinduzi wa Tawi la NMB Dumila.



 

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad