JIACHIE

Karibuni Jamvini Wanajamii

Tangaza Hapa

Post Top Ad


BANDARI QUEENS BINGWA NETIBOLI DARAJA LA PILI, MENEJIMENTI YA TPA YAPONGEZWA

Share This
Timu ya Netiboli ya Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania- TPA “ Bandari Queens” imetwaa Ubingwa wa Mashindano ya ligi Daraja la pili Taifa baada ya kupata ushindi wa magoli 38 kwa 31 dhidi ya Mapinduzi Dodoma Katika mchezo wa tamati uliochezwa Uwanja wa Shule ya Sekondari Nsimbo, Mpanda Mkoani Rukwa.

Mkuu wa wilaya ya Mpanda Mhe. Jamila Yusuph amekabidhi kombe kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Katavi









No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad