NSSF inashiriki maonesho hayo yanayofanyika katika Viwanja vya Stendi ya Zamani Babati Mkoani Manyara, kwa ajili ya kutoa elimu ya hifadhi ya jamii, kusajili wanachama wapya kutoka sekta binafsi na sekta isiyo rasmi, elimu kuhusu huduma za NSSF kidijitali, elimu kuhusu mapambano dhidi ya rushwa, uwekezaji unaofanywa na NSSF.










Matukio mbalimbali katika Picha


No comments:
Post a Comment