JIACHIE

Karibuni Jamvini Wanajamii

Tangaza Hapa

Post Top Ad


MKUTANO MKUU WA KUMI WA TAPSEA WAFUNGULIWA RASMI LEO, ZANZIBAR

Share This
Waziri wa nchi Ofisi ya Rais - Katiba, Sheria, Utumishi na Utawala Bora Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Haroun Ali Suleiman akizungumza wakati akifungua rasmi ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa kumi wa Chama cha Makatibu Mahsusi Tanzania, unaofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Chuo Kikuu cha Zanziar (SUZA), mkoa wa Kusini Unguja, Zanzibar. Mkutano huo ulianza jana kwa kutanguliwa na Semina ya kitaaluma iliyotolewa na Taasisi mbalimbali ikiwa ni kuendelea kuwajega kitaaluma Makatibu Muhtasi wote nchini.
Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Ridhiwani Kikwete akizungumza wakati akitoa salamu katika ufunguzi rasmi ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa kumi wa Chama cha Makatibu Mahsusi Tanzania, unaofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Chuo Kikuu cha Zanziar (SUZA), mkoa wa Kusini Unguja, Zanzibar. 
Mwenyekiti wa Chama cha Makatibu Mahsusi Tanzania (TAPSEA), Zuhura Maganga akizungumza katika ufunguzi rasmi wa Mkutano Mkuu wa kumi wa Chama cha Makatibu Mahsusi Tanzania, unaofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Chuo Kikuu cha Zanziar (SUZA), mkoa wa Kusini Unguja, Zanzibar.
Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja, Rashid Hadid Rashid akichagiza wanachamawa wa TAPSEA katika ufunguzi rasmi wa Mkutano Mkuu wa kumi wa Chama cha Makatibu Mahsusi Tanzania, unaofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Chuo Kikuu cha Zanziar (SUZA), mkoa wa Kusini Unguja, Zanzibar. 
Katibu wa Chama cha Makatibu Mahsusi Tanzania (TAPSEA), Anneth Charles Mapima akizungumza katika ufunguzi rasmi wa Mkutano Mkuu wa kumi wa Chama cha Makatibu Mahsusi Tanzania, unaofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Chuo Kikuu cha Zanziar (SUZA), mkoa wa Kusini Unguja, Zanzibar. 
 




















No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad