JIACHIE

Karibuni Jamvini Wanajamii

Tangaza Hapa

Post Top Ad


UTT AMIS yadhamini Kikao cha Maafisa Habari, Mawasiliano na Uhusiano Serikalini

Share This

Washiriki wa Mkutano wa Maafisa Habari, Mawasiliano na Uhusiano Serikali wakipata maelezo kutoka kwa Afisa Masoko wa UTT AMIS, Oliva Minja walipotembelea dawati la UTT nje ya ukumbi wa mkutano. 

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Nape Nnauye akizungumza wakati akifungua kikao cha 17 cha Maafisa Habari, Mawasiliano na Uhusiano wa Serikalini kinachoendelea jijini Tanga.


Maafisa Habari, Mawasiliano na Uhusiano Serikalini wakiwa katika mkutano.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad