JIACHIE

Karibuni Jamvini Wanajamii

Tangaza Hapa

Post Top Ad


RAIS WA ZANZIBAR AWAAPISHA VIONGOZI WA DINI NA MAKADHI WA ZANZIBAR IKULU LEO Mei 12,2022.

Share This

SHEIKH Hassan Othman Ngwali akiapishwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) kuwa Kadhi Mkuu wa Zanzibar, hafla hiyo ya kuapishwa iliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 12-5-2022.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimuapisha Sheikh Hassan Othman Ngwali kuwa Kadhi Mkuu wa Zanzibar, hafla hiyo iliyofanyika katika Ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 12-5-2022.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimuapisha Sheikh Othman Ame Chum kuwa Naibu Kadhi Mkuu wa Zanzibar, hafla hiyo ya kuapishwa iliyofanyika katika Ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 12-5-2022.(Picha na Ikulu)

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad