KATIBU Mkuu wa Klabu ya Waandishi wa Habari mkoani Tanga (TPC) Mbonea
Herman katikati akipokea majarida ya Shirika la Uzikwasa kutoka kwa
Meneja wa Radio Pangani FM inayomilikiwa na Shirika hilo kulia ni
Mhariri Mkuu wa Radio hiyo Erick Mallya wakati walipofika ofisi za klabu
kwa ajili ya kujitambulisha na kuomba ushirikiano na klabu hiyo mapema
leo
TPC,UZIKWASA WATETA
Share This
Tags
# HABARI
Share This
Jiachie Blog
HABARI
Labels:
HABARI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Author Details
A Tanzanian blog operating since 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.


No comments:
Post a Comment