JIACHIE

Karibuni Jamvini Wanajamii

Tangaza Hapa

Post Top Ad


SAMIA HASSAN SULUHU AAPISHWA KUWA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA LEO MACHI 19, 2021

Share This

 Aliyekuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiapa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo Machi 19, 2021 katika Ikuru ya Magogoni Mkoa wa Dar es Salaam. Ameapishwa leo baada ya aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli kufariki Dunia Machi 17, 2021.


No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad