jlogo

Karibuni Jamvini Wanajamii

topads

Post Top Ad

demo-image

TAWI LA BENKI YA NMB LA NELSON MANDELA MJINI MOSHI YASHEREHEKEA WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA.

Share This
Meneja wa Benki ya NMB tawi la Nelson Mandela ,Emanuel Kishosha akimlisha keki mkuu wa Mko wa Kilimanjaro ,Ana Mghwira wakati wa maadhimisho hayo.FN3G9540
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro,Anna Mghwira akiwaongoza wageni wengine wakati wa kupata Chai iliyoandaliwa na Benki ya NMB tawi la Nelson Mandela mjini Moshi ikiwa ni sehemu ya kuadhimisha Wiki ya Huduma kwa Wateja .
FN3G9534
FN3G9547
Baadhi ya Wateja wa Benki ya NMB wakipata Chai katika tawi la Nelson Mandela mjini Moshi.
E86A7793
E86A7780
E86A7875
Meneja wa NMB tawi la Nelson Mandela,Emmanuel Kishosha akimueleza jambo Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Anna Mghwira wakati akimkaribisha kuzungumza na Wateja a Benki hiyo waliojumuika katika Chai ya asubuhi ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya wiki ya Huduma kwa Wateja.
E86A7893
E86A7896
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro ,Anna Mghwira akizungumza na Wateja wa Benki ya NMB wakati wa Maadhimisho ya wiki ya Huduma kwa Wateja iliyoanza Oktoba Mosi.
E86A7899
E86A7800
Baadhi ya Wateja wa Benki ya NMB pamoja na viongozi mbalimbali wakifuatilia hotuba ya Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro aliotoa wakati wa Maadhimisho ya wiki ya Huduma kwa wateja katika Benki ya NMB tawi la Nelson Mandela.
E86A7826
Meneja wa Benki ya NMB tawi la Nelson Mandela mjini Moshi ,Emanuel Kishosha akielezea Historia ya Benki hiyo ilipotoka na wapi ilipo sasa kwa Wateja wa Benki hiyo .
E86A7789
E86A7835
Baadhi ya Viongozi wa Benki ya NMB tawi la Nelson Mandela mjini Moshi.
E86A7813
Baadhi ya Wafanyakazi wa NMB tawi la Nelson Mandela mjini Moshi wakifurahia wiki ya Huduma kwa Wateja iliyoanza Oktoba mosi.
E86A7930
Meneja wa NMB tawi la Nelson Mandela akimkabidhi Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro ,Anna Mghwira cheti cha kutambua mchango wake wakati wa Maadhimisho ya wiki ya Huduma kwa Wateja.
E86A7934
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Anna Mghwira akionesha cheti chake alichokabidhiwa na Benki ya NMB.
E86A7947
E86A7957
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro ,Anna Mghwira akikabidhi Vyeti kwa Wadu mbalimbali kwa niaba ya Benki ya NMB kwa kutambua mchango wao katika kufanikisha utendaji kazi wa Benki hiyo.
E86A7979
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Anna Mghwira akikata Keki kwa ajili ya kuadhimisha wiki ya Huduma kwa wateja katika Benki ya NMB tawi la Nelson Mandela mjini Moshi.
E86A8003
Meneja wa NMB tawi la Nelson Mandela ,Emanuel Kishosha akimlisha keki Mkuu wa wilaya ya Moshi ,Kippi Warioba katika maadhimisho hayo.
E86A8009
E86A8025
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro,Anna Mghwira akiwa katika picha ya pamoja na Wateja wa Benki hiyo na viongozi mbalmbal waliohudhuria kuanza kwa wiki ya Huduma kwa Wateja.
Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii,Kanda ya Kaskazini.
Comment Using!!

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad