Meneja
Masoko kutoka kampuni ya Michezo ya Kubahatisha ya Biko, Good Hope
Heaven , akizungumza namna kampuni yao ilivyoweza kudhamini Tamasha la
Muziki Mnene kupitia bahati nasibu ya Nguvu ya Buku.
Baadhi ya Watangazaji wa EFM Radio na Tv E Wakifatilia uzinduzi wa Tamasha la Mziki Mnene.
Balozi wa kampuni ya Noah Funishing na Mtangazaji wa Efm Radio, Swebe Santana akizungumza juu ya kampuni hiyo ilivyojikita katika kudhamini EFM Joging itakyofanyika katika mikoa yote sita ambapo Tamasha la Muziki Mnene litafanyika.
Meneja Mkuu wa EFM Radio na Tv E , Denis Busulwa (SEBO), Akizungumza na Waandishi wa Habari wakati wa uzinduzi wa Tamasha Mziki Mnene litakalo fanyika katika mikoa sita nchini Sanjari na Kampeni ya Nje Ndani ambayo itarusha vipindi vya Radio kutoka mitaani .
Afisa Uhusiano na Meneja Matukio wa Efm Radion Tv E , Neema Ukurasi akizungumza juu ya Tamasha la Muziki Mnene litakavyoweza kufika katika mikoa yote ambayo EFM Radio inasikika kwa sasa
Waandishi wa Habari na Baadhi ya wafanayakazi kutoka Efm Radio na Tv E wakifatilia mkutano wa uzinduzi wa Tamasha la Mziki Mnene.
Baadhi ya Watangazaji wa EFM Radio na Tv E Wakifatilia uzinduzi wa Tamasha la Mziki Mnene.
Balozi wa kampuni ya Noah Funishing na Mtangazaji wa Efm Radio, Swebe Santana akizungumza juu ya kampuni hiyo ilivyojikita katika kudhamini EFM Joging itakyofanyika katika mikoa yote sita ambapo Tamasha la Muziki Mnene litafanyika.
Meneja Mkuu wa EFM Radio na Tv E , Denis Busulwa (SEBO), Akizungumza na Waandishi wa Habari wakati wa uzinduzi wa Tamasha Mziki Mnene litakalo fanyika katika mikoa sita nchini Sanjari na Kampeni ya Nje Ndani ambayo itarusha vipindi vya Radio kutoka mitaani .
Afisa Uhusiano na Meneja Matukio wa Efm Radion Tv E , Neema Ukurasi akizungumza juu ya Tamasha la Muziki Mnene litakavyoweza kufika katika mikoa yote ambayo EFM Radio inasikika kwa sasa
Waandishi wa Habari na Baadhi ya wafanayakazi kutoka Efm Radio na Tv E wakifatilia mkutano wa uzinduzi wa Tamasha la Mziki Mnene.
No comments:
Post a Comment