jlogo

Karibuni Jamvini Wanajamii

topads

Post Top Ad

demo-image

WAKURUGENZI WA MANISPAA, MIJI NA HALMASHURI WAAPISHWA TAMISEMI MJINI DODOMA LEO.

Share This

Baadhi ya wakurugenzi wa Halmashauri za Wilaya wakila kiapo wakati wa hafla maalum ya kukabidhiwa majukumu yao katika ofisi za Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) mjini Dodoma Septemba 13.
CHAPENI+KAZI
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), George Simbachawene akiwapongeza baadhi ya Wakurugenzi wa Manispaa, miji na Halmashauri baada ya kiapo mjini Dodoma jana.
IMG_3088
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), George Simbachawene akiwapongeza Mkurugenzi wa Manispaa ya Dodoma Godwin Kunambi baada ya Wakurugenzi wa Manispaa, miji na Halmashauri baada ya kiapo mjini Dodoma Septemba 13 2016.
DEDS
Baadhi ya wakurugenzi wa Halmashauri za Wilaya wakila kiapo wakati wa hafla maalum ya kukabidhiwa majukumu yao katika ofisi za Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) mjini Dodoma Septemba 13.
IMG_2906
Katibu msaidizi wa Sekretarieti ya Maadili ya Umma Ofisi ya Kanda ya kati Dodoma, Cathlex Makawia (kulia) akiwaapisha wakurugenzi 13 wa manispaa, miji na na halmasahuri mjini Dodoma. Kulia ni Kaimu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais (TAMISEMI) Bernard Makali. (Picha na Robert Okanda)
IMG_2893
Baadhi ya wakurugenzi wa Halmashauri za Wilaya wakila kiapo wakati wa hafla maalum ya kukabidhiwa majukumu yao katoka ofisi za Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) mjini Dodoma.
IMG_2937

IMG_2942
Baadhi ya wakurugenzi wa Halmashauri za Wilaya wakila wakitia saini viapo vyao baada ya kuapa  wakati wa hafla maalum ya kukabidhiwa majukumu yao katika ofisi za Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) mjini Dodoma Septemba 13 2016. 

IMG_2947
Baadhi ya wakurugenzi wa Halmashauri za Wilaya wakila wakitia saini viapo vyao baada ya kuapa  wakati wa hafla maalum ya kukabidhiwa majukumu yao katika ofisi za Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) mjini Dodoma Septemba 13 2016.

IMG_2997
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, menejiment ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Angela Kairuki akiwapa mawaidha na ushauri wa kiutendaji Wakurugenzi baada ya kuapa.
IMG_3011
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), George Simbachawene akiwapa mawaidha Wakurugenzi wa Manispaa, miji na Halmashauri 13 baada ya kiapo mjini Dodoma.

IMG_3085
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), George Simbachawene akiwapongeza baadhi ya Wakurugenzi wa Manispaa, miji na Halmashauri baada ya kiapo mjini Dodoma.
IMG_3051
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), George Simbachawene na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Angela Kairuki wakifahamiana na baadhi ya wakurugenzi.
IMG_3082
Waziri Kairuki akibadilishana mawasiliano na Mkurugenzi wa Manispaa ya Mbulu, Hudson Kamoga.
IMG_3068
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), George Simbachawene akiwapongeza baadhi ya Wakurugenzi wa Manispaa, miji na Halmashauri baada ya kiapo mjini Dodoma.
IMG_3041
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), George Simbachawene (katikati), Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Angela Kairuki, Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Selemani Jaffo (wa pili kushoto), Katibu Msaidizi wa Sekretarieti ya Maadili ya Umma Ofisi ya Kanda ya kati Dodoma, Cathlex Makawia (kushoto) pamoja Kaimu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais (TAMISEMI) Bernard Makali (kulia) wakiwa katika pichAa ya pamoja na wakurugenzi hao. (Imeanaliwa na Robert Okanda Blogs)
Comment Using!!

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad