JIACHIE

Karibuni Jamvini Wanajamii

Tangaza Hapa

Post Top Ad


MRADI WA AIRTEL NA VETA UJULIKANAO KAMA VSOMO WAENDELEA KUELIMISHA WATANZANIA MTAANI.

Share This
 Mabalozi wa Airtel kupitia mradi wa mafunzo ya stadi za ufundi kupitia mtandao wa simu ya mkononi yajulikanayo kama “VSOMO” yaani VETA SOMO, wakitoa elimu ya mafunzo hayo kwa wananchi jijini Dar Es Salaam.
 Abu Ally,Balozi wa Airtel kupitia mradi wa mafunzo ya stadi za ufundi kupitia mtandao wa simu ya mkononi yajulikanayo kama “VSOMO” yaani VETA SOMO, akitoa elimu ya mafunzo hayo kwa wananchi jijini Dar Es Salaam.
  Fatuma Abdallah ,Balozi wa Airtel kupitia mradi wa mafunzo ya stadi za ufundi kupitia mtandao wa simu ya mkononi yajulikanayo kama “VSOMO” yaani VETA SOMO, akitoa elimu ya mafunzo hayo kwa wananchi jijini Dar Es Salaam. 

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad