JIACHIE

Karibuni Jamvini Wanajamii

Tangaza Hapa

Post Top Ad


MAMIA WAJITOKEZA KUAGA MWILI WA MAREHEMU ELIZABETH MAYEMBA.

Share This
Mkuu wa idara ya habari na mawasiliano wa klabu ya Simba, Haji Manara akiaga mwili wa marehemu Elizabeth Mayemba nyumbani kwake Tabata jijini Dar es Salaam leo.
Mkuu wa idara ya habari na mawasiliano wa Club ya Yanga, Jerry Muro akiaga mwili wa marehemu Elizabeth Mayemba nyumbani kwake Tabata jijini Dar es Salaam.
 Mamia ya Waombolezaji wajitokeza kuaga mwili wa mwandishi wa Habari za Michezo wa Gazeti la Majira marehemu, Elizabeth Mayemba nyumbani kwake Tabata jijini Dar es Salaam. Mwili huo utasafirishwa leo kwenda mkoani Morogoro kwa mazishi.



 Waombolezaji wakiga mwili wa Marehemu Elizabeth Mayemba nyumbani kwake Tabata jijini Dar es Salaam leo.





No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad