JIACHIE

Karibuni Jamvini Wanajamii

Tangaza Hapa

Post Top Ad


FIDIA ZA MADAKTARI 380 WALIOFIKIWA NA WCF KUANZA KUTOLEWA JULAI MOSI 2016.

Share This
Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Fidia Kwa Wafanyakazi, Masha Mshomba, akitoa hotuba kwenye ufunguzi wa mafunzo ya siku tano kwa madaktari kutoka mikoa ya Nyanda za Juu Kusini, yanayofanyika mjini Mbeya Juni 13, 2016.Mafunzo hayo ni muendelezo wa kampeni ya WCF kwa kushirikiana na Shirika la Kazi Duniani, ILO, kuwapatia mafunzo Madaktari kote nchini, ili kujenga uwezowa kufanya tathmini ya madhara aliyoyapata mfanyakazimahala pa kazi kabla ya kupatiwa fidia. WCF itaanza kutoa Fidia kwa Wafanyakazi Kuanzia Julai 1, 2016.

Baadhi ya madaktari waliohudhuria mafunzo hayo
 (PICHA ZOTE NA EMMANULE MADAFA).

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad