JIACHIE

Karibuni Jamvini Wanajamii

Tangaza Hapa

Post Top Ad


BASI SUPER SAMI LAANGUKA WILAYANI IGUNGA MKOA WA TABORA.

Share This
Ajali imetokea Wilayani Igunga ikihusisha basi la Super Sami lililokulikitokea Mwanza kwenda jijini Dar es Salaam.

Chanzo cha ajali hiyo ni Dereva alipokuwa akitaka kukwepa Ng'ombe na  gari likamshinda na kuanguka na kusabaisha ajali hiyo.

Watu wakielekea kwenye gari lililopata ajali leo Wilayani Igunga.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad