JIACHIE

Karibuni Jamvini Wanajamii

Tangaza Hapa

Post Top Ad


MBUNGE WA JIMBO LA MLALO ATOA MSAADA WA MABATI KATIKA SHULE YA MKUNKI.

Share This
Mbunge wa jimbo la Mlalo, Rashid Shangazi akikabidhi msaada wa mabati katika shule ya awali ya Kisirui kata ya Rangwi jimbo la Mlalo mkoani Tanga.
Mbunge wa jimbo la Mlalo, Rashid Shangazi akizungumza na  wakazi wa  Kisirui kata ya Rangwi jimbo la Mlalo mkoani Tanga, mwishoni wa wiki alipotoa msaada wa Mabati katika shule ya awali Mkunki mwishoni mwa wiki.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad