JIACHIE

Karibuni Jamvini Wanajamii

Tangaza Hapa

Post Top Ad


WAZIRI MWAKYEMBE ATEMBELEWA NA BALOZI JAAP WA UHOLANZI.

Share This
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt Harrison Mwakyembe (kushoto) akiongea na Balozi wa Uholanzi nchini Tanzania Bw. Jaap Frederiks alipomtembelea ofisini kwake leo 12/2/2016 jijini Dar Es Salaam kwa mazungumzo.

Waziri Mwakyembe alimwelezea balozi huyo shughuli mbalimbali zinazofanywa na Wizara na balozi Jaap aliahidi kushirikiana na Tanzania kwenye masuala ya kisheria ya kimataifa.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad