JIACHIE

Karibuni Jamvini Wanajamii

Tangaza Hapa

Post Top Ad


MAKAMU WA RAIS AKUTANA NA UJUMBE WA WATU WA CHINA NA MWENYEKITI WA SHELL DEEPWATER.

Share This
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia suluhu Hassan  akizungumza na Ujumbe wa kampuni ya Gezhouba kutoka China kuhusu masuala ya uwekezaji. Kushoto ni kiongozi wa msafara huo Mhandisi Hu pend.
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia suluhu Hassan  akiwa katika picha ya pamoja na Ujumbe wa kampuni ya Gezhouba kutoka China.

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia suluhu Hassan  akizungumza na Mwenyekiti wa Shell Deepwater Tanzania BV Alex Knope walipokutana leo ofisini kwake Ikulu kwa ajili ya kumsalimia.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad